KILICHOPO NYUMA YA PESA ZA VIJANA NA WANAWAKE HALMASHAURI
 Kwenye kila halmashauri nchini Tanzania kuna pesa zimetengwa kwa ajili ya maendeleo ya vijana na wanawake. Pesa hizo zimetengwa kwa ajili ya kuwapa vikundi vya kimaendeleo ambavyo vimeundwa na hao vijana pamoja na hao wanawake. Na ili kila kikundi kiweze kupata hizo pesa ni lazima kiwe na shughuli maalumu ya uzalishaji mali ambazo zinawaingiza kipato sambamba na hivyo vikundi kutambulika kisheria yaani visajiliwe katika ofisi zenye mamlaka husika ambazo zipo chini ya usimamizi wa afisa maendeleo.
 
KWANINI VIJANA NA WANAWAKE?
Kwa sababu haya makundi mawili ndio chachu ya maendeleo katika jamii na taifa kwa ujumla kwa kuwa vijana ni taifa la kesho hivyo hakuna budi kuwawezesha sasa ili kesho waweze kusimama wenyewe na ukimuwezesha mwanamke mmoja ni sawa umeiwezesha jamii nzima kwa kuwa wanawake wanaangaliwa kama chachu ya mabadiliko na maendeleo katika jamii na taifa kwa ujumla kulingana na walivyobarikiwa.
 
KIPI KIPO NYUMA YA PESA ZAO?
Pesa hizo ni asilimia tano (5%) kwa wanawake na asilimia tano (5%) kwa vijana. Lakini cha kushangaza hao wanawake na vijana hawajui kwa namna gani waweze kunufaika na hizo pesa zao ambazo wametengewa kwa lengo kujiletea maendeleo yao wao wenyewe. Hivyo, kilichopo nyuma ya hizo pesa za vijana na wanawake ni vipaumbele vya serikali ya nchi ambavyo wameviweka kwa lengo la kuliletea taifa maendeleo. Kwa maana hiyo kushindwa kwa vijana na wanawake kutambua na kuelewa kwa kina vipaumbele vya serikali vimepelekea ugumu kwa namna moja ama nyingine kwa vijana na wanawake kunufaika na hizo pesa.
 
UTAJUAJE VIPAUMBELE VYA SERIKALI?
Kujua vipaumbele vya serikali ni lazima uwe Dira ya maendeleo ya taifa (2025) na Ilani ya chama cha mapinduzi (C.C.M) ambayo kwa uwazi kabisa vimejieleza na kufafanua kwa kina. Kwa maana hiyo miradi mbalimbali inayotekelezwa katika taifa letu inazingatia na kutekeleza dira ya taifa ya maendeleo na ilani ya chama cha mapinduzi (C.C.M).
 
NINI KIFANYIKE?
Vijana na Wanawake wanapaswa kuacha kufanya mambo kwa mazoea kwa sababu kunawafanya washindwe kuzitumia fursa zinazowazunguka ipasavyo. Hivyo, ata kuunda kwao vikundi ni lazima kuwe na tija ambayo itawawezesha kwa namna moja ama nyingine kupiga hatua kutoka sehemu ndogo kwenda sehemu kubwa kwa sababu kutawawezesha pia kunufaika na asasi mbalimbali za fedha zinazotoa huduma za kibenki kwa ajili ya maendeleo yao na taifa kwa ujumla.Hivyo, hatuna budi kubadilika na kufanya mambo yetu kwa ufasaha na uweledi zaidi kulingana na miongozo ya taifa letu.

Maoni

  1. MALI,UTAJIRI AU FEDHA ZA NDAGU AU MAJINI KWA MUDA MFUPI MPAKA MASAA 72(SIKU 3) PAPO HAPO KWA MASHARTI MAALUM KIKUBWA UWE MWAMINIFU, JASILI NA UWE NA UTAYARI WA KUPOKEA MASHARTI YA KUTUNZA SIRI HII SIO MZAHA......

    KUMBUKA MALIPO NI BAADA YA KUFANIKIWA

    kwa maelezo kamili piga namba +255742162843

    (KWANINI USUMBUKE,HACHA KUTANGATANGA, NA MAISHA NI MAFUPI PUUZA UONGOFU WA KUWA MTU KUWA TAJIRI NI DHAMBI WAKATI AKUAMBIAE YEYE NI TAJIRI (Tumia ufahamu kujinasuaUTAJIRI WA NDAGU(MASHARTI) NDANI YA MASAA 72(SIKU TATU) PAPO HAPO KIKUBWA UWE MWAMINIFU, JASILI NA UWE NA UTAYARI WA KUPOKEA MASHARTI YA KUTUNZA SIRI HII SIO MZAHA......

    NAITWA DR, MDIRO piga 0742162843. KAMA UNAITAJI PESA ZA MAJINI AU NDAGU YA MALI AU ULINZI KWA MALI YAKO
    (HUSITUME SMS PIGA SIMU KUHEPUKA MATAPELI)
    MATIBABU MENGINEYO NI KAMA UTULIVU KATIKA NDOA, AU KUMVUTA UMPENDAE, KUONDOA MIKOSI, MABALAA, KUOSHA NYOTA, KUITAMBUA NYOTA YAKO NA ASILI YA KAZI YAKE, KAMA UNASUMBULIWA NA MAJINI MAHABA NA SHIDA YA UZAZI.

    NIPIGIE 0742162843. KIKUBWA NI KUSIKILIZA NA KUFATA MASHARTI. ANGALIZO USITUME SMS PIGA NA UWE NA NIA.

    (kuhusu utajiri au pesa) KABLA YA KUPIGA SIMU ZINGATIA YAFUATAYO
    1. uwe una umri wa miaka 18+
    2. uwe tayari kupokea masharti yote
    3.uwe na uwezo wa kutunza siri
    4. uwe jasiri wa kupokea taarifa yoyote
    KARIBU SANA KWA SHIDA NYINGINE PIA ULIYONAYO AMBAYO SIJATAJA INSHAALAH ITATATULIWA IKIWA NDANI YA UWEZO WANGU.

    JibuFuta
    Majibu
    1. Sikuwahi kuamini kitu kama hiki kingeweza kunitokea hadi ndoa yangu ilipokaribia kuisha kabisa.

      Mume wangu alibadilika ghafla. Mwanaume ambaye hapo awali alinipenda na kunijali akawa baridi, asiyejali, na mwenye hasira bila sababu. Aliacha kuonyesha nia katika ndoa yetu, akaniepuka kabisa, na hatimaye akaniomba talaka. Nilivunjika moyo kwa sababu nilimpenda mume wangu kwa moyo wangu wote.
      Mambo yalizidi kuwa mabaya aliponizuia kila mahali — WhatsApp, Facebook, Instagram — kana kwamba sijawahi kuwepo. Nililia kila usiku nikijiuliza nilifanya nini kibaya.
      Siku moja, rafiki wa karibu alinitembelea na kunitambulisha kwa mtu wa kiroho anayeitwa Dkt. Dawn. Kwa kweli, mwanzoni nilikuwa na shaka, lakini niliamua kumweleza kila kitu kwa sababu sikuwa na chochote cha kupoteza.

      Dkt. Dawn alinisomea mambo ya kiroho, na nilishtuka. Alifichua siri kuhusu ndoa yangu na maisha yangu binafsi ambayo hakuna mtu aliyejua. Kila kitu alichosema kilikuwa sahihi 100%. Kisha akafichua kwamba mwanamke mwingine alikuwa amemloga mume wangu. Mwanamke huyu alikuwa akimtembelea mara nyingi, na kwa upumbavu niliamini ilikuwa kuhusu kazi tu.
      Dkt. Dawn alinisaidia kuvunja uchawi na akafanya ibada yenye nguvu ya kurejesha upendo kwa ndoa yangu.
      Kwa mshangao wangu mkubwa, muda mfupi tu baadaye, mume wangu alinifungulia kizuizi mwenyewe na kuanza kunipigia simu na kunitumia ujumbe mwingi, akiniomba nimsamehe na nirudi nyumbani. Mwanzoni nilimpuuza kwa sababu ya maumivu aliyonisababishia, lakini hatimaye alirudi nyumbani akiwa na zawadi na machozi machoni mwake akiomba nafasi nyingine.
      Leo, ndoa yetu ni imara zaidi, yenye furaha zaidi, na yenye amani zaidi kuliko hapo awali. Mapenzi kati yetu yanahisi upya kabisa.
      Kana kwamba hiyo haitoshi, Dkt. Dawn baadaye alinisaidia na ibada ya ujauzito kwa sababu tulikuwa tumejitahidi kwa miaka mingi kupata watoto. Ndani ya wiki 8, nilipata mimba kiasili, na leo tumebarikiwa na wavulana wawili wazuri wenye afya njema.
      Nitaendelea kushukuru milele.
      Ukihitaji: Uchawi wa mapenzi wa kuungana tena na mpenzi wako wa zamani
      . Usaidizi wa kurejesha ndoa
      . Tamaduni za ujauzito za kupata mimba
      . Usaidizi wa kiroho kwa kesi za mahakamani au kupona urithi
      . Mwongozo na ulinzi wa kiroho
      Ninapendekeza sana Dkt. Dawn. Ushuhuda wangu ni wa kweli, na furaha yangu leo ni uthibitisho. WhatsApp yake: +2349046229159

      dawnacuna314@gmail.com

      Futa
  2. UTAJIRI AU FEDHA ZA NDAGU AU MAJINI KWA MUDA MFUPI

    (Kwanza kabisa nataka kukwambia kwamba hakika utajili ni azina kutoka kwa mwenyezi mungu na pia kuna viumbe alio wapa mamlaka na nguvu ya kumiliki mali)


    MPAKA MASAA 72(SIKU3) PAPO HAPO KWA MASHARTI MAALUM KIKUBWA UWE MWAMINIFU, JASILI NA UWE NA UTAYARI WA KUPOKEA MASHARTI YA KUTUNZA SIRI HII SIO MZAHA......

    KUMBUKA MALIPO NI BAADA YA KUFANIKIWA

    kwa maelezo kamili piga namba +255742162843

    (KWANINI USUMBUKE,HACHA KUTANGATANGA, NA MAISHA NI MAFUPI PUUZA UONGOFU WA KUWA MTU KUWA TAJIRI NI DHAMBI WAKATI AKUAMBIAE YEYE NI TAJIRI (Tumia ufahamu kujinasuaUTAJIRI WA NDAGU(MASHARTI) NDANI YA MASAA 72(SIKU TATU) PAPO HAPO KIKUBWA UWE MWAMINIFU, JASILI NA UWE NA UTAYARI WA KUPOKEA MASHARTI YA KUTUNZA SIRI HII SIO MZAHA......

    NAITWA DR, MDIRO piga 0742162843. KAMA UNAITAJI PESA ZA MAJINI AU NDAGU YA MALI AU ULINZI KWA MALI YAKO
    (HUSITUME SMS PIGA SIMU KUHEPUKA MATAPELI)
    MATIBABU MENGINEYO NI KAMA UTULIVU KATIKA NDOA, AU KUMVUTA UMPENDAE, KUONDOA MIKOSI, MABALAA, KUOSHA NYOTA, KUITAMBUA NYOTA YAKO NA ASILI YA KAZI YAKE, KAMA UNASUMBULIWA NA MAJINI MAHABA NA SHIDA YA UZAZI.

    NIPIGIE 0742162843. KIKUBWA NI KUSIKILIZA NA KUFATA MASHARTI. ANGALIZO USITUME SMS PIGA NA UWE NA NIA.

    (kuhusu utajiri au pesa) KABLA YA KUPIGA SIMU ZINGATIA YAFUATAYO
    1. uwe una umri wa miaka 18+
    2. uwe tayari kupokea masharti yote
    3.uwe na uwezo wa kutunza siri
    4. uwe jasiri wa kupokea taarifa yoyote
    KARIBU SANA KWA SHIDA NYINGINE PIA ULIYONAYO

    JibuFuta
  3. PESA AU UTAJIRI MKUBWA WA MAJINI,, NDAGU NA PETE YA BAHATI,,

    ======= KUTANA NA MGANGA BINGWA WA TIBA ZA ASILI ,,BINGWA WA TIBA ZA MAPENZI ,,BIASHARA NA KUKUPA UTAJIRI MKUBWA WA MAJINI NA NDAGU,, SI MWENGINE NI DR.Mdiro

    MAWASILIANO
    WHATSAPP +255742162843
    KWA WALIO NJE YA NCHI TUMIENI WHAT'S UP KWA MAWASILIANO

    Malipo ni baada ya mafanikio

    ====Natibu magonjwa sugu kisukali presha kifafa nguvu za kiume uzazi chango ngiri busha ganzi miguu,,tumbo gesi,,maumivu ya mwili,,ndoto mbaya,,na kutafasri maana ya ndoto unazo ota ,, nk

    ===== Nasafisha nyota,,kutoa mikosi,,nuksi,,kutoa majini mabaya,,kutoa chuma ulete kwenye biashara,, kupandishwa nyota,, kupandishwa cheo,, kupata kazi,, kushinda kesi,,kulipa kisasi kwa ulicho fanyiwa nao wajisikie vibaya Kama wewe ilivyo jisikia,,nk

    ===== Kumrudisha mpenzi mchumba mume mke uliye tengana nae ,,au kakutelekeza,, kumshika mme wako au mpenzi wa mtu awe anakusaidia na kukutimizia mahitaji Kama NI mpenzi wako,, au Kama anakutaka awe anakupa pesa bila kumuomba ,,

    ===== Kumrudisha mke mme kwenye himaya yako tena kama mmeachana na unahitaji muwe pamoja au muishi wote Kama zamani,,au Kama humuitaji yeye unataka pesa zake tu pia atakusaidia hata bila kumpa pezi lako,,

    =====Kumilikishwa Mali au utajiri mkubwa wa majini,, kupata utajiri mkubwa wa ndagu,,kupata utajiri mkubwa wa freemason,, kukupa utajiri mkubwa kuliko wengine utajiri wa Pete ya bahati ambayo itakuvutia mali pesa na itakupa mvuto mkubwa wa kupendwa na watu,,

    ===== Kukupa chuma ulete,,kukupandisha nyota ya uganga,, kukupa karama ya kumiliki uchawi,, kukupa nyota ya kushinda bahati nasibu au kamali,, kukupa kinga ya kiwaona wabaya ,, kuona matatizo yako,, kukupa mvuto mkubwa wa kuolewa au kuoa Kama unamchumba au huna kabisa yaani ajitokezee mwenyewe aseme anataka kukuoa au umuowe,,

    ===== NJOO NIKUHUDUMIE,, PIA NATIBU HATA UKIWA MBALI NAMI UWE MKOANI AU NCHI NYINGINE HUDUMA UTAIPATA KWA HARAKA NA UTAFANIKIWA KWA MDA MFUPI TU,,

    ====KWA UTAJIRI MKUBWA WA MAJINI
    ====KWA UTAJIRI MKUBWA

    JibuFuta
    Majibu
    1. nikweli unasaidia watu?

      Futa

Chapisha Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

Maana ya microfinance institutions(taasisi za fedha zinazotoa huduma za kibenki), imeandaliwa na Florian Lisso