VIJUE VYANZO VYA MITAJI KWA AJILI YA MICRO FINANCE INSTITUTIONS.
Ikumbukwe kuwa kuna micro finance institutions( taasisi za fedha zinazotoa huduma za kibenki) nyingi sana na miongoni mwa hizo taasisi za fedha ni saccos(saving and credits cooperatives), vicoba( village community bank),FINCA, pride na nyingine nyingi. Lengo kubwa la kuanzisha hizi taasisi za fedha zinazotoa huduma za kibenki ni kufikia watu wote ambao hawana sifa za kupata huduma za kibenki katika mabenki ya kibiashara. Na hizi taasisi zinazotoa huduma za kibenki zikaenda mbali sana kwa kuboresha huduma zao ambazo zinampa mtu yoyote fursa ya kujiandalia kesho yake hususani katika kupambana kujikwamua na umaskini.
Sasa ili hizi taasisi za fedha zinazotoa huduma za kibenki ziweze kujiendesha kwa kutoa huduma za kibenki kwa kila mtu lazima iwe na mtaji wa kutosha utakaowawezesha kujiendesha kwa uzuri ili mwisho wa siku iweze kuwa na tija kwa namna moja ama nyingine. Vifuatavyo ni vyanzo ambavyo hizi micro finance(taasisi za fedha zinazotoa huduma za kibenki) huwa wanavitumia ili kupata mitaji ya kuendesha shughuli zake.
mikopo ya mabenki(banks loans); mara nyingi mabenki ya kibiashara(commercial banks) ndo huwa wanawapa hiyo mikopo hizo taasisi za fedha zinazotoa huduma za kibenki kwa kiwango flani cha riba ambacho kinakuwa kimepangwa kutokana na thamani ya pesa kwa kidindi hicho. Hivo hizo micro finance institutions itawalazimu kuanza kutoa huduma kwa wateja wao ili waweze kuzalisha pesa nyingi zaidi zitakazowawezesha wao kulipa deni walilolipata toka katika mabenki ya kibiashara.
pesa za msaada(grants); hizi pesa zinakuwa zimetengwa kwa ajili ya shughuli mbalimbali za kimaendeleo kwa kipindi husika. hivo hizi micro finance institutions itawalazimu kuomba hizo pesa kwa kuandaa andiko la mradi(project proposal) au mpango wa biashara(business plan) utakaoainisha mchanganuo mzima wa matumizi na mapato.
michango ya wanachama(venture capital); huu ni mtaji ambao unaotaka na michango mbalimbali ya wanachama kupitia akiba zao wanazoweka katika hiyo micro finance institutions kabla hawajaanza kukopeshana. mfano mzuri wa huu mtaji ni saccos. kupitia hiyo michango ndo inawawezesha kuanza kutoa huduma za kibenki kwa watu wengine.
hivo hizo ni baadhi tu ya zile nyingi ambazo hutumiwa na taasisi nyingi za kifedha katika kupata mitaji yao itakayowawezesha kutoa huduma za kibenki kwa watu. Nadhani ni wakati sahihi pia wa wadau mbalimbali kuitazama hii fursa kwa jicho pana zaidi ili uweze kujikita katika kufanya ili uweze kujiingizia kipato chako menyewe kwa kuamua kujiajili.
Pia husisahau kushare kwa wengine ili waweze kujifunza mambo mengi zaidi.
Pia husisahau kushare kwa wengine ili waweze kujifunza mambo mengi zaidi.

Nakubal sana mkuu keep it up afisa lisso
JibuFutashukrani sana broh....napambana mzee
JibuFutambona ya kwako uitumii broh
JibuFutaNitaanza hivi punde kuna mamb flani ya usajili sikukamilisha. Tutazjngumza kwanza this week
JibuFutahaina shaka nyumbi hii bombi hiii
JibuFutaMaoni haya yameondolewa na mwandishi.
JibuFuta𝗨𝗧𝗔𝗝𝗜𝗥𝗜 𝗪𝗔 𝗡𝗗𝗔𝗚𝗨 𝗡𝗔 𝗠𝗔𝗝𝗜𝗡𝗜 𝗡𝗗𝗔𝗡𝗜 𝗬𝗔 𝗠𝗔𝗦𝗔𝗔𝟰𝟴 𝗨𝗕𝗔𝗗𝗜𝗟𝗜𝗦𝗛𝗘 𝗠𝗔𝗜𝗦𝗛𝗔 𝗡𝗔 𝗠𝗙𝗨𝗠𝗢 𝗪𝗔 𝗨𝗧𝗔𝗙𝗨𝗧𝗔𝗝𝗜 𝗪𝗔𝗞𝗢.
JibuFutaKATIKA SAFARI YA MAFANIKIO TUNAPITIA MENGI ILI TUWEZE KUFANIKIWA LAKINI WENGI WETU KUNA MAMBO MACHACHE SANA WENGI WETU TUNAYADHARAU NA KUMBE NDIO CHANZO CHA MAFNIKIO YETU.
N.B KWA WALE WAHITAJI WA PESA ZA NDAGU au MAJINI kwa mudamfupi nipigie DOKTA MDIRO +255 742162843
HAYA NI MAMBO 7 YAKUZINGATIA KATIKA SAFARI YAKO YA MAFNIKIO
i) Wazazi wako wakiwa wamekulea mpaka ukawa mkubwa wafumbua macho unawaona akikisha usiwafanye wakajuta kukuzaa asilimia kubwa wazazi wanakuwa na tabu sana ila zile tabu zao ndio zinazokufanya wewe una aminiwa na watu na unaeshimika na kujieshimu
Kwaiyo jitahidi sana kuwa nao vizuri kuna wengi maisha yao wanaishi kwa shida chanzo ni utofauti baina ya wazazi wao
Ukiona wazazi wako wanatabu sana usiwajibu vibaya wewe kaa nao mbali ila wape majukumu yao unacho fanya kuwaona nakurudi ulipo apo utaona mambo yako yatakuwa vizuri sana
ii) JAMBO LA PILI
Akikisha unatunza uzao wako yani ukijua ni mtoto ni wako basi jitahidi sana kutoa uduma ata kidogo ulicho nacho lakini udumia usiache uzao wako unateseka na njaa wewe una kula maisha aisee fahau
Kila mtoto wako anavyo kuwa ndio mambo yako yanaaribika usipo udumia kwaiyo ukiwa waitaji kufanikiwa zaidi jali uzao wako
iii) JAMBO LA TATU
ukiwa umeoa au umeolewa usitoe talaka au kuomba talaka kabla mwenzio ayupo tayari kwa muda huo fahamu ukiomba talaka au akikupa talaka bila bila sababu ya msingi yeye tu ana matamanio ya kidunia basi anamuda atapoteza muelekeo wa maisha yake
iv) UKIWA WAPATA PESA
ukiwa wapata pesa alafu utoi sadaka basi kufikia kwenye ukuu utachelewa sana mana mana pesa badala ya kutoa kwa iyari yako utatoa kwa matatizo kwaiyo jitahidi icho icho kidogo toa sadaka kwa wenye uitaji
v) USIMZULUMU MTU
kama wataka kufika mbali kwenye mafanikio yako usimzulumu mtu ata kwa uchache wa kitu usifanye ivyo itakugarimu kiasi kikubwa
vi) USIZARAH MILA
ukiwa kwenu kuna mambo ya mila mzimu tambiko jitahidi kufatilia sana aya mambo yanarudisha nyuma sana usipo yawahi mapema
vii)USIWE WA NAMNA
1)ikiwa ujafanikiwa jitahidi sana usiwe mvivu kufanya kazi usiwe muhuni usiwe mwenye chuki na asira zisizo za msingi usiwe na tamaa nyoa vizuri vaa nguo za eshima na usiige maisha ya watu.
Kwanza kabisa nataka kukwambia kwamba hakika utajiri ni hazina kutoka kwa mwenyezi mungu na pia kuna viumbe alio wapa mamlaka na nguvu ya kumiliki mali)
MPAKA MASAA 72(SIKU3) PAPO HAPO KWA MASHARTI MAALUM KIKUBWA UWE MWAMINIFU, JASILI NA UWE NA UTAYARI WA KUPOKEA MASHARTI YA KUTUNZA SIRI HII SIO MZAHA......
KUMBUKA MALIPO NI BAADA YA KUFANIKIWA
kwa maelezo kamili piga namba +255742162843
(KWANINI USUMBUKE,HACHA KUTANGATANGA, NA MAISHA NI MAFUPI PUUZA UONGOFU WA KUWA MTU KUWA TAJIRI NI DHAMBI WAKATI AKUAMBIAE YEYE NI TAJIRI (Tumia ufahamu kujinasuaUTAJIRI WA NDAGU(MASHARTI) NDANI YA MASAA 72(SIKU TATU) PAPO HAPO KIKUBWA UWE MWAMINIFU, JASILI NA UWE NA UTAYARI WA KUPOKEA MASHARTI YA KUTUNZA SIRI HII SIO MZAHA......
NAITWA DR, MDIRO piga 0742162843. KAMA UNAITAJI PESA ZA MAJINI AU NDAGU YA MALI AU ULINZI KWA MALI YAKO
(HUSITUME SMS PIGA SIMU KUHEPUKA MATAPELI)
MATIBABU MENGINEYO NI KAMA UTULIVU KATIKA NDOA, AU KUMVUTA UMPENDAE, KUONDOA MIKOSI, MABALAA, KUOSHA NYOTA, KUITAMBUA NYOTA YAKO NA ASILI YA KAZI YAKE, KAMA UNASUMBULIWA NA MAJINI MAHABA NA SHIDA YA UZAZI.
NIPIGIE 0742162843. KIKUBWA NI KUSIKILIZA NA KUFATA MASHARTI. ANGALIZO USITUME SMS PIGA NA UWE NA NIA.
(kuhusu utajiri au pesa) KABLA YA KUPIGA SIMU ZINGATIA YAFUATAYO
1. uwe una umri wa miaka 18+
2. uwe tayari kupokea masharti yote
3.uwe na uwezo wa kutunza siri
4. uwe jasiri wa kupokea taarifa yoyote
KWA MAWSILIANO ZAIDI KUHUSU MATATIZO MBALIMBALI YA TIBA ASILI NA TIBA MBADALA, PETE MALI ZA NDAGU NA MAJINI N.K
DOKTA MDIRO Call/whatsup +255 742162843.