VIJUE VYANZO VYA MITAJI KWA AJILI YA MICRO FINANCE INSTITUTIONS. 

Ikumbukwe kuwa kuna micro finance institutions( taasisi za fedha zinazotoa huduma za kibenki) nyingi sana na miongoni mwa hizo taasisi za fedha ni saccos(saving and credits cooperatives), vicoba( village community bank),FINCA, pride na nyingine nyingi. Lengo kubwa la kuanzisha hizi taasisi za fedha zinazotoa huduma za kibenki ni kufikia watu wote ambao hawana sifa za kupata huduma za kibenki katika mabenki ya kibiashara. Na hizi taasisi zinazotoa huduma za kibenki zikaenda mbali sana kwa kuboresha huduma zao ambazo zinampa mtu yoyote fursa ya kujiandalia kesho yake hususani katika kupambana kujikwamua na umaskini.

Sasa ili hizi taasisi za fedha zinazotoa huduma za kibenki ziweze kujiendesha kwa kutoa huduma za kibenki kwa kila mtu lazima iwe na mtaji wa kutosha utakaowawezesha kujiendesha kwa uzuri ili mwisho wa siku iweze kuwa na tija kwa namna moja ama nyingine. Vifuatavyo ni vyanzo ambavyo hizi micro finance(taasisi za fedha zinazotoa huduma za kibenki) huwa wanavitumia ili kupata mitaji ya kuendesha shughuli zake.

mikopo ya mabenki(banks loans); mara nyingi mabenki ya kibiashara(commercial banks) ndo huwa wanawapa hiyo mikopo hizo taasisi za fedha zinazotoa huduma za kibenki kwa kiwango flani cha riba ambacho kinakuwa kimepangwa kutokana na thamani ya pesa kwa kidindi hicho. Hivo hizo micro finance institutions itawalazimu kuanza kutoa huduma kwa wateja wao ili waweze kuzalisha pesa nyingi zaidi zitakazowawezesha wao kulipa deni walilolipata toka katika mabenki ya kibiashara.

pesa za msaada(grants); hizi pesa zinakuwa zimetengwa kwa ajili ya shughuli mbalimbali za kimaendeleo kwa kipindi husika. hivo hizi micro finance institutions itawalazimu kuomba hizo pesa kwa kuandaa andiko la mradi(project proposal) au mpango wa biashara(business plan) utakaoainisha mchanganuo mzima wa matumizi na mapato.

michango ya wanachama(venture capital); huu ni mtaji ambao unaotaka na michango mbalimbali ya wanachama kupitia akiba zao wanazoweka katika hiyo micro finance institutions kabla hawajaanza kukopeshana. mfano mzuri wa huu mtaji ni saccos. kupitia hiyo michango ndo inawawezesha kuanza kutoa huduma za kibenki kwa watu wengine.

hivo hizo ni baadhi tu ya zile nyingi ambazo hutumiwa na taasisi nyingi za kifedha katika kupata mitaji yao itakayowawezesha kutoa huduma za kibenki kwa watu. Nadhani ni wakati sahihi pia wa wadau mbalimbali kuitazama hii fursa kwa jicho pana zaidi ili uweze kujikita katika kufanya ili uweze kujiingizia kipato chako menyewe kwa kuamua kujiajili.

Pia husisahau kushare kwa wengine ili waweze kujifunza mambo mengi zaidi.




Maoni

  1. Nakubal sana mkuu keep it up afisa lisso

    JibuFuta
  2. shukrani sana broh....napambana mzee

    JibuFuta
  3. Nitaanza hivi punde kuna mamb flani ya usajili sikukamilisha. Tutazjngumza kwanza this week

    JibuFuta
  4. Maoni haya yameondolewa na mwandishi.

    JibuFuta
  5. 𝗨𝗧𝗔𝗝𝗜𝗥𝗜 𝗪𝗔 𝗡𝗗𝗔𝗚𝗨 𝗡𝗔 𝗠𝗔𝗝𝗜𝗡𝗜 𝗡𝗗𝗔𝗡𝗜 𝗬𝗔 𝗠𝗔𝗦𝗔𝗔𝟰𝟴 𝗨𝗕𝗔𝗗𝗜𝗟𝗜𝗦𝗛𝗘 𝗠𝗔𝗜𝗦𝗛𝗔 𝗡𝗔 𝗠𝗙𝗨𝗠𝗢 𝗪𝗔 𝗨𝗧𝗔𝗙𝗨𝗧𝗔𝗝𝗜 𝗪𝗔𝗞𝗢.

    KATIKA SAFARI YA MAFANIKIO TUNAPITIA MENGI ILI TUWEZE KUFANIKIWA LAKINI WENGI WETU KUNA MAMBO MACHACHE SANA WENGI WETU TUNAYADHARAU NA KUMBE NDIO CHANZO CHA MAFNIKIO YETU.

    N.B KWA WALE WAHITAJI WA PESA ZA NDAGU au MAJINI kwa mudamfupi nipigie DOKTA MDIRO +255 742162843

    HAYA NI MAMBO 7 YAKUZINGATIA KATIKA SAFARI YAKO YA MAFNIKIO

    i) Wazazi wako wakiwa wamekulea mpaka ukawa mkubwa wafumbua macho unawaona akikisha usiwafanye wakajuta kukuzaa asilimia kubwa wazazi wanakuwa na tabu sana ila zile tabu zao ndio zinazokufanya wewe una aminiwa na watu na unaeshimika na kujieshimu

    Kwaiyo jitahidi sana kuwa nao vizuri kuna wengi maisha yao wanaishi kwa shida chanzo ni utofauti baina ya wazazi wao

    Ukiona wazazi wako wanatabu sana usiwajibu vibaya wewe kaa nao mbali ila wape majukumu yao unacho fanya kuwaona nakurudi ulipo apo utaona mambo yako yatakuwa vizuri sana

    ii) JAMBO LA PILI
    Akikisha unatunza uzao wako yani ukijua ni mtoto ni wako basi jitahidi sana kutoa uduma ata kidogo ulicho nacho lakini udumia usiache uzao wako unateseka na njaa wewe una kula maisha aisee fahau

    Kila mtoto wako anavyo kuwa ndio mambo yako yanaaribika usipo udumia kwaiyo ukiwa waitaji kufanikiwa zaidi jali uzao wako

    iii) JAMBO LA TATU
    ukiwa umeoa au umeolewa usitoe talaka au kuomba talaka kabla mwenzio ayupo tayari kwa muda huo fahamu ukiomba talaka au akikupa talaka bila bila sababu ya msingi yeye tu ana matamanio ya kidunia basi anamuda atapoteza muelekeo wa maisha yake

    iv) UKIWA WAPATA PESA
    ukiwa wapata pesa alafu utoi sadaka basi kufikia kwenye ukuu utachelewa sana mana mana pesa badala ya kutoa kwa iyari yako utatoa kwa matatizo kwaiyo jitahidi icho icho kidogo toa sadaka kwa wenye uitaji

    v) USIMZULUMU MTU
    kama wataka kufika mbali kwenye mafanikio yako usimzulumu mtu ata kwa uchache wa kitu usifanye ivyo itakugarimu kiasi kikubwa

    vi) USIZARAH MILA
    ukiwa kwenu kuna mambo ya mila mzimu tambiko jitahidi kufatilia sana aya mambo yanarudisha nyuma sana usipo yawahi mapema

    vii)USIWE WA NAMNA
    1)ikiwa ujafanikiwa jitahidi sana usiwe mvivu kufanya kazi usiwe muhuni usiwe mwenye chuki na asira zisizo za msingi usiwe na tamaa nyoa vizuri vaa nguo za eshima na usiige maisha ya watu.

    Kwanza kabisa nataka kukwambia kwamba hakika utajiri ni hazina kutoka kwa mwenyezi mungu na pia kuna viumbe alio wapa mamlaka na nguvu ya kumiliki mali)

    MPAKA MASAA 72(SIKU3) PAPO HAPO KWA MASHARTI MAALUM KIKUBWA UWE MWAMINIFU, JASILI NA UWE NA UTAYARI WA KUPOKEA MASHARTI YA KUTUNZA SIRI HII SIO MZAHA......
    KUMBUKA MALIPO NI BAADA YA KUFANIKIWA
    kwa maelezo kamili piga namba +255742162843

    (KWANINI USUMBUKE,HACHA KUTANGATANGA, NA MAISHA NI MAFUPI PUUZA UONGOFU WA KUWA MTU KUWA TAJIRI NI DHAMBI WAKATI AKUAMBIAE YEYE NI TAJIRI (Tumia ufahamu kujinasuaUTAJIRI WA NDAGU(MASHARTI) NDANI YA MASAA 72(SIKU TATU) PAPO HAPO KIKUBWA UWE MWAMINIFU, JASILI NA UWE NA UTAYARI WA KUPOKEA MASHARTI YA KUTUNZA SIRI HII SIO MZAHA......

    NAITWA DR, MDIRO piga 0742162843. KAMA UNAITAJI PESA ZA MAJINI AU NDAGU YA MALI AU ULINZI KWA MALI YAKO
    (HUSITUME SMS PIGA SIMU KUHEPUKA MATAPELI)
    MATIBABU MENGINEYO NI KAMA UTULIVU KATIKA NDOA, AU KUMVUTA UMPENDAE, KUONDOA MIKOSI, MABALAA, KUOSHA NYOTA, KUITAMBUA NYOTA YAKO NA ASILI YA KAZI YAKE, KAMA UNASUMBULIWA NA MAJINI MAHABA NA SHIDA YA UZAZI.
    NIPIGIE 0742162843. KIKUBWA NI KUSIKILIZA NA KUFATA MASHARTI. ANGALIZO USITUME SMS PIGA NA UWE NA NIA.
    (kuhusu utajiri au pesa) KABLA YA KUPIGA SIMU ZINGATIA YAFUATAYO
    1. uwe una umri wa miaka 18+
    2. uwe tayari kupokea masharti yote
    3.uwe na uwezo wa kutunza siri
    4. uwe jasiri wa kupokea taarifa yoyote

    KWA MAWSILIANO ZAIDI KUHUSU MATATIZO MBALIMBALI YA TIBA ASILI NA TIBA MBADALA, PETE MALI ZA NDAGU NA MAJINI N.K

    DOKTA MDIRO Call/whatsup +255 742162843.

    JibuFuta

Chapisha Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

Maana ya microfinance institutions(taasisi za fedha zinazotoa huduma za kibenki), imeandaliwa na Florian Lisso