DHANA YA VIKUNDI VYA MAENDELEO NA ASASI ZA KIBENKI
Katika jamii kuna vikundi vya maendeleo na vikundi hivi vya maendeleo kazi yake kubwa ni kuhakikisha kuwa vinatengeneza fursa mbalimbali kwa wanachama na jamii kwa ujumla kupitia huduma au bidhaa zao.

MAANA YA VIKUNDI VYA MAENDELEO
Vikundi vya maendeleo ni vikundi vyote vinavyojihusisha na shughuli mbalimbali za uzalishaji mali katika jamii yaani vikundi hivi vinakuwa na kazi zao maalumu wanazozifanya ambazo zinawaingiza kipato na kuwasaidia katika jitihada zao za kupambana na umaskini.mfano wa shughuli zinazofanywa na hivi vikundi vya maendeleo ni ukulima wa mazao,ufundi seremala na ufundi washi,utengenezaji wa sabuni na bidhaa mbalimbali kwa ajili ya matumizi ya binadamu na shughuli nyingine nyingi sana.

IDADI YA WATU
Kumbuka hivi ni vikundi kwa ajili ya kutengeneza faida ili wanachama wake waweze kujikwamua na changamoto mbalimbali katika maisha yao sambamba na umaskini.hivyo wataalamu wa maendeleo ya jamii wanaopatikana katika halmashauri za nchi yetu wanashauri kwamba idadi nzuri ya wanachama kwa ajili ya vikundi vya maendeleo ni watu 10 mpaka 15 kwa sababu iwe rahisi kwa kila mmoja kunufaika na shughuli wanazozifanya za uzalishaji mali.

VIKUNDI VYA MAENDELEO NA HUDUMA ZA KIBENKI
Asasi nyingi za fedha zinazotoa huduma za kibenki wametupia macho yao katika hivi vikundi vya kimaendeleo kutokana na shughuli zao wanazofanya za uzalishaji mali. kwahiyo, hizo shughuli zinawapa fursa ya kupata huduma za kibenki kama vile mikopo, kuweka akiba,huduma za bima pamoja na kuhamisha pesa kama  kikundi au mtu mmoja mmoja. kwa kudhihirisha hilo katika halmashauri zetu nchini kote wanatoa mikopo ya gharama nafuu kupitia ofisi ya maendeleo ya jamii kwa kushirikiana na wizara ya maendeleo ya jamii,jinsia,wanawake watoto na wazee kwa sababu kuna pesa zimetengwa kwa ajili ya vikundi vya maendeleo.

MWISHO
Maendeleo katika jamii zetu tunajiletea wenyewe na sio kuletewa, kwa hiyo wakati umefika sasa kwa vijana,wanawake na wanaume kujiunga kwa pamoja na kuunda kikundi cha maendeleo kwa ajili ya uzalishaji mali na urahisi wa kupata huduma za kibenki kwa ajili ya kupambana na changamoto mbalimbali za kimaendeleo hususani umaskini.kwa hiyo, hizo asasi za fedha zinazotoa huduma za kibenki zimetoa kipaumbele kwa vikundi vya kimaendeleo kwa kufanya nao kazi ili waweze kuwanufaisha kwa namna moja ama nyingine na kuhakikisha kila siku jamii zetu zinakuwa na maendeleo.                                                                           

Maoni

  1. 𝗨𝗧𝗔𝗝𝗜𝗥𝗜 𝗪𝗔 𝗡𝗗𝗔𝗚𝗨 𝗡𝗔 𝗠𝗔𝗝𝗜𝗡𝗜 𝗡𝗗𝗔𝗡𝗜 𝗬𝗔 𝗠𝗔𝗦𝗔𝗔𝟰𝟴 𝗨𝗕𝗔𝗗𝗜𝗟𝗜𝗦𝗛𝗘 𝗠𝗔𝗜𝗦𝗛𝗔 𝗡𝗔 𝗠𝗙𝗨𝗠𝗢 𝗪𝗔 𝗨𝗧𝗔𝗙𝗨𝗧𝗔𝗝𝗜 𝗪𝗔𝗞𝗢.

    KATIKA SAFARI YA MAFANIKIO TUNAPITIA MENGI ILI TUWEZE KUFANIKIWA LAKINI WENGI WETU KUNA MAMBO MACHACHE SANA WENGI WETU TUNAYADHARAU NA KUMBE NDIO CHANZO CHA MAFNIKIO YETU.

    N.B KWA WALE WAHITAJI WA PESA ZA NDAGU au MAJINI kwa mudamfupi nipigie DOKTA MDIRO +255 742162843

    HAYA NI MAMBO 7 YAKUZINGATIA KATIKA SAFARI YAKO YA MAFNIKIO

    i) Wazazi wako wakiwa wamekulea mpaka ukawa mkubwa wafumbua macho unawaona akikisha usiwafanye wakajuta kukuzaa asilimia kubwa wazazi wanakuwa na tabu sana ila zile tabu zao ndio zinazokufanya wewe una aminiwa na watu na unaeshimika na kujieshimu

    Kwaiyo jitahidi sana kuwa nao vizuri kuna wengi maisha yao wanaishi kwa shida chanzo ni utofauti baina ya wazazi wao

    Ukiona wazazi wako wanatabu sana usiwajibu vibaya wewe kaa nao mbali ila wape majukumu yao unacho fanya kuwaona nakurudi ulipo apo utaona mambo yako yatakuwa vizuri sana

    ii) JAMBO LA PILI
    Akikisha unatunza uzao wako yani ukijua ni mtoto ni wako basi jitahidi sana kutoa uduma ata kidogo ulicho nacho lakini udumia usiache uzao wako unateseka na njaa wewe una kula maisha aisee fahau

    Kila mtoto wako anavyo kuwa ndio mambo yako yanaaribika usipo udumia kwaiyo ukiwa waitaji kufanikiwa zaidi jali uzao wako

    iii) JAMBO LA TATU
    ukiwa umeoa au umeolewa usitoe talaka au kuomba talaka kabla mwenzio ayupo tayari kwa muda huo fahamu ukiomba talaka au akikupa talaka bila bila sababu ya msingi yeye tu ana matamanio ya kidunia basi anamuda atapoteza muelekeo wa maisha yake

    iv) UKIWA WAPATA PESA
    ukiwa wapata pesa alafu utoi sadaka basi kufikia kwenye ukuu utachelewa sana mana mana pesa badala ya kutoa kwa iyari yako utatoa kwa matatizo kwaiyo jitahidi icho icho kidogo toa sadaka kwa wenye uitaji

    v) USIMZULUMU MTU
    kama wataka kufika mbali kwenye mafanikio yako usimzulumu mtu ata kwa uchache wa kitu usifanye ivyo itakugarimu kiasi kikubwa

    vi) USIZARAH MILA
    ukiwa kwenu kuna mambo ya mila mzimu tambiko jitahidi kufatilia sana aya mambo yanarudisha nyuma sana usipo yawahi mapema

    vii)USIWE WA NAMNA
    1)ikiwa ujafanikiwa jitahidi sana usiwe mvivu kufanya kazi usiwe muhuni usiwe mwenye chuki na asira zisizo za msingi usiwe na tamaa nyoa vizuri vaa nguo za eshima na usiige maisha ya watu.

    Kwanza kabisa nataka kukwambia kwamba hakika utajiri ni hazina kutoka kwa mwenyezi mungu na pia kuna viumbe alio wapa mamlaka na nguvu ya kumiliki mali)

    MPAKA MASAA 72(SIKU3) PAPO HAPO KWA MASHARTI MAALUM KIKUBWA UWE MWAMINIFU, JASILI NA UWE NA UTAYARI WA KUPOKEA MASHARTI YA KUTUNZA SIRI HII SIO MZAHA......
    KUMBUKA MALIPO NI BAADA YA KUFANIKIWA
    kwa maelezo kamili piga namba +255742162843

    (KWANINI USUMBUKE,HACHA KUTANGATANGA, NA MAISHA NI MAFUPI PUUZA UONGOFU WA KUWA MTU KUWA TAJIRI NI DHAMBI WAKATI AKUAMBIAE YEYE NI TAJIRI (Tumia ufahamu kujinasuaUTAJIRI WA NDAGU(MASHARTI) NDANI YA MASAA 72(SIKU TATU) PAPO HAPO KIKUBWA UWE MWAMINIFU, JASILI NA UWE NA UTAYARI WA KUPOKEA MASHARTI YA KUTUNZA SIRI HII SIO MZAHA......

    NAITWA DR, MDIRO piga 0742162843. KAMA UNAITAJI PESA ZA MAJINI AU NDAGU YA MALI AU ULINZI KWA MALI YAKO
    (HUSITUME SMS PIGA SIMU KUHEPUKA MATAPELI)
    MATIBABU MENGINEYO NI KAMA UTULIVU KATIKA NDOA, AU KUMVUTA UMPENDAE, KUONDOA MIKOSI, MABALAA, KUOSHA NYOTA, KUITAMBUA NYOTA YAKO NA ASILI YA KAZI YAKE, KAMA UNASUMBULIWA NA MAJINI MAHABA NA SHIDA YA UZAZI.
    NIPIGIE 0742162843. KIKUBWA NI KUSIKILIZA NA KUFATA MASHARTI. ANGALIZO USITUME SMS PIGA NA UWE NA NIA.
    (kuhusu utajiri au pesa) KABLA YA KUPIGA SIMU ZINGATIA YAFUATAYO
    1. uwe una umri wa miaka 18+
    2. uwe tayari kupokea masharti yote
    3.uwe na uwezo wa kutunza siri
    4. uwe jasiri wa kupokea taarifa yoyote

    KWA MAWSILIANO ZAIDI KUHUSU MATATIZO MBALIMBALI YA TIBA ASILI NA TIBA MBADALA, PETE MALI ZA NDAGU NA MAJINI N.K

    DOKTA MDIRO Call/whatsup +255 742162843.

    JibuFuta

Chapisha Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

Maana ya microfinance institutions(taasisi za fedha zinazotoa huduma za kibenki), imeandaliwa na Florian Lisso