Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Aprili, 2018
Picha
HUYU NDIO MZAZI WA VICOBA(VILLAGE COMMUNITY BANK) VICOBA NI NINI??  Vicoba(village community bank) ni benki za kijiji zilizoanzishwa na watu kuanzia 15 mpaka 30 kwa lengo la kuweka akiba na kukopeshana kwa riba nafuu ambayo watakuwa wamekubaliana wanachama wenyewe kwa mujibu wa katiba yao. lengo la kuanzisha hizi benki ni kusaidiana ili waweze kupambana na umaskini sambamba na changamoto mbalimbali za kimaisha hasa za kiuchumi na kijamii.  vicoba uendeshwa kwa katiba maalumu kulingana na makubaliano ya wanachama na pia katiba hizo lazima zisajiliwe kwa mujibu wa sheria na kanuni za wizara husika kuanzia ngazi ya kata mpaka wilaya. MZAZI WA VICOBA  "UPATU" ndio mzazi wa VICOBA(village community bank). Upatu ni mchezo unaotumiwa na watu mbalimbali kuchangiana fedha kisha baada ya fulani hizo fedha anapewa mtu na kuanza kuchangiana tena kwa ajili ya kupewa mtu mwingine kwa maana hizo fedha zinazochangishwa utolewa kwa mzunguko ili kilaaliyechangia lazima apate. le...
Picha
RC KILIMANJARO AWAAMSHA WALIOLALA MKOANI HUMO. MOSHI, KILIMANJARO Mkuu wa mkoa wa kilimanjaro mheshimiwa Mama Anna Mgwira amewaamsha wanawake wa mkoa huo kuchangamkia fursa zinazopatikana katika taasisi za kifedha zinazotoa huduma za kibenki ili waweze kupata huduma hizo hususani za kupata mkopo nafuu utakaowawezesha kujikita katika shughuli za kiujasiliamali ili waweze kujiingizia kipato. Mkuu wa mkoa huyo aliyasema maneno hayo wakati alipokuwa akizindua jukwaa la wanawake katika mkoa huo. Alisema kuwa "kuna biashara nyingi tunazoweza kufanya hususani ya kusindika matunda maana biashara hiyo imekuwa ikishika hatamu duniani kote, hivyo tutumie hizo taasisi za kifedha zinazotoa huduma za kibenki ili tuweze kufanya hiyo biashara". Hivyo sasa ni wakati pia kwa taasisi hizo za fedha zinazotoa huduma za kibenki kuwafuata wananchi na kuzungumza nao kwa kina uku wakiwapa uelewa wa kutosha juu ya mchango wa hizo taasisi zao katika maisha ya mwananchi ili waweze kuzitumia ...
Picha
   opportunity for higher learning students and secondary students in Tanzania. Dar es salaam, Tanzania. The Dar es salaam Stock Exchange(DSE) introducing Scholar Investment Challenge for targeting Tanzanian youth in higher learning institutions. The challenge is an online simulation of live trading at the Dar es Salaam Stock Exchange (DSE), where each participating group or individual is given a virtual start-up capital to invest using the DSE real time information for a period of 3 months.  The winner is the team or individual considered by a panel of judges to have made the most sound investment decisions, the highest portfolio value and to have contributed in the discussion forum. The DSE scholar investment Challenge 2017 is open to any Tanzanian youth who is enrolled in any higher leaning Institution in the country. The main objectives of the challenge are to develop and encourage the culture of saving and investment as well as to enhance financial ...
Picha
waziri mkuu mheshimiwa Kassim Majaliwa Waziri mkuu amwaga neema kwa taasisi za fedha zinazotoa huduma za kibenki Tanzania. MAGOGO, GEITA. Waziri mkuu wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Mheshimiwa Kassim Majaliwa ametoa baraka sambamba na kumwaga neema kwa taasisi za fedha zinazotoa huduma za kibenki kutoa huduma hizo kwa wateja ambao ni wanunuzi wakuu wa zao la pamba mkoani geita na mikoa ya jirani. Akisema maneno hayo katika sherehe za uzinduzi wa mbio za mwenge za uhuru mkoani humo, "mheshimiwa waziri mkuu alisema kuwa kwa sasa zao la pamba limekuwa jingi sana na sisi kama serikali kwa kushirikiana na wadau wetu tutahakikisha kuwa zao hili linanunuliwa lote kwa ajili ya maendeleo ya viwanda vyetu, hivyo taasisi za fedha zinazotoa huduma za kibenki zitumie fursa hiyo kutoa huduma zao hususani za mikopo kwa watu". Pia amehimiza wakulima kwa pamoja kujiunga na vyama vya ushirika ambavyo vitawasaidia katika kuendesha shughuli zao ili waweze kutimiza malengo y...